Nabii Daniel
alionyeshwa njozi ya mambo ambayo yangetokea katika kipindi cha historia ya ulimwengu huu, katika njozi
iliyositaajabisha sana. Wanyama
waliibuka toka baharini, wakiashiria falme
zenye uwezo na mamlaka ya kiulimwengu, zenye kutawala
mamlaka za mataifa mengine
ulimwenguni. Wanyama hawa waliibuka kwa awamu, ikiashiria mfuatano wa mamlaka
hizi zenye nguvu za kiulimwengu katika kutawala mataifa mengine.
Daniel 7:4
Kwanza kabisa, Daniel
aliona upepo ukivuma katika bahari, na
Simba
mwenye mabawa mawili ya tai mkubwa yaliyofutuka akaibuka toka baharini.
Daniel 7:4 ~ ikiashiria ufalme wa Babel
Daniel
7:5
Pili Upepo ulipovuma, Daniel akaona
mnyama mfano wa
Dubu na mifupa
mitatu ya mbavu ilikuwamo kinywani mwake

No comments:
Post a Comment